Friday, April 9, 2010

JK AONGOZA KIKAO CHA NEC KARIMJEE!!

Mwenyekiti wa CCm Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Zanzibar Amani Abeid Karume na Katibu mkuu wa CCM Bwana Yusuf Makamba wakiingia katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam tayari kuanza kwa kikao cha Halmashauri kuu ya taifa ya CCM (NEC).

Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM NEC wakiwa katika kikao chao leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam(picha na Freddy Maro)

No comments: